[SIZE=5]Mara kwa mara huwa mnauliza @uwesmake hufanya kazi kwa kampuni ya mhindi mgani.
Well there is your answer. Vega 50 is from India and reading from the standard newspsper, vega 50 ni kama ni illegal in Kenya juu ya kuuwa wanaume.
@uwesmake ni salesman wa Vega-50. Huwa anazurura town kwa steji za mabasi, kwa bar na danguro zote na strip joint za Nairobi akiuza hizi dawa.
Si mnajua wale watu wa, “Dawa ya mende, dawa ya mende, dawa ya mende 40 bob…”
Bas!!!
Ya @uwesmake ni dawa ya makende. Na huwa anasimama pale mbele kwa matatu ikianza kuenda :
“Bas mpensi msafiri huu ni wakati mwingine tena kwa majina ni Silifesta Lichoti Washiali ama ukitaka Uwesmeki. Mbele yenu niko na dawa hapa, dawa dhabiti kuliko mukhobero, dawa ya kutibu nguvu za kiume… dawa dhabiti kutoka Calcutta India… mpenzi msafiri dawa hii unayoona naiuza na bei nafuu ya silingi mia moja pekee yake. Ukiwa katika ile hali ya kutaka kufanya tendo la ngono mumunya tembe mbili za Vega 50. Kama wewe ni ndume kamili utamwaga maziwa angalau mara kumi na tano!!!”
https://www.youtube.com/watch?v=lYcw8xoYBNM
[ATTACH=full]431129[/ATTACH]
@uwesmake akimaliza kibarua anarudi kwa ofisi ya mhindi na zile dawa zimebaki. Wanafanya hesabu na @uwesmake anapewa 5% of total sales.
Kisha anaosha ile X5 ya mhindi na kumpeleka nyumbani Westlands.
Kisha @uwesmake ndio huyo tena Sabina Joy juu siku mzima ameshinda akimumunya hizi dawa.
Akimaliza kumwaga shoti mbili anaabiri gari za Kayole. Anaingia na kushindo na kutukana yule msapere. Na kukojolea sufuria juu amekunywa Gilbeys quarter hapo Sabina Joy.
Msapere anamjibu , “Wewe nimekupatia miaka hio, miaka biri!”
Ile kitu @uwesmake haelewi ni ati amemangishwa roll nne za sokoni steel wool na ndio masna ananjotika na kuhara damu ya dark red.
[ATTACH=full]431131[/ATTACH]
[/SIZE]