Mnalalaga saa ngapi…i can see posts za saa nane usiku,saa saba,alfu comments mob saa tisa hivi saa kumi.mnalalaga saa ngapi.
ama ni kushinda online usiku mzima na mnaamkia kudoz kwa ma ofisi.excluding officers in the village.
lasima ujue wengine ni ma rombots kama @vujachieth
kwanza niliona kuna robots …hao ni kina nani
@vuja de kuja kidogo
@culture unakuwanga dem ama msee ?
Mjamaa wa ma ngotha unasumbua
I NEVER SLEEP
Kuna watu wataform “reaching threshold circle” juu huwa wanakutana hapa in between breaks. Munajijua tu. :D:D:D
Uwesmake ni watchie wa Equity ya Kayole ndio maana unampata hapa ata saa tisa ya usiku kama night runner.
Hatuko Kenya
hadi unashangaa if these people ever have time for sex or ni pang’ang’a tu of how they reached threshold
@culture wacha maswali za umama.
jamaa ameambukizwa na udaku ya Kilimani Mums, ye hushinda nao chini ya mnazi kwa mkeka
Comboro tulia , shenji
kwani unakula chemison sai Omwami, nakushuku
Wengi ni kama wewe majobless yout man hiyo time ndio wanakuanga idhaa ya kupiga mafala ngeta after kushikisha muguka
this is soooooooo ???