Ni maswali yapi kati ya haya ungependa kupata majibu yake?

:one: Nini kinatokea baada ya kifo?

:two:Unyakuo ni nini?

:three:Kuna mbingu ngapi?

:four:Kuna hukumu ngapi?

:five:Kuna aina ngapi za upendo?

:six: Unyenyekevu ni nini?

:seven:Kaini alitolea wapi mke?

:eight:Chukizo la uharibifu ni nini?

:nine: Vita vya Harmagedoni ni vipi?

Vitasa saba ni nini?

11 . Kuna aina ngapi za malaika

12 . Yohana mbatizaji alibatizwa na nani.

13 . Dhabihu ni nini?

14 . Baragumu sana ni nini?

15 . Utawala wa miaka 1000 ni nini?

16 . Wanefili ni watu gani

17 . Pakanga ni nini?

18 . Tofauti kati ya Roho, nafsi na mwili ni ipi?

19 . Yeshuruni ni nani?

29 . Azazeli ni nani?

30. Kuvukiza uvumba ni nini?

31 . Pentekoste ni nini?

32 . Matowashi ni watu gani?

33 . Mauti ya pili ipoje?

34 . Urimu na thumimu ni nini?

35 . Ubatizo sahihi ni upi?

36 : Kibanzi na Boriti maana yake ni nini?

37 : Abadoni ni nani?

38 . Sifongo na siki ni nini?

39 . Ikabodi ni nini?

40 . Maran atha maana yake nini?

Kwa majibu
Text whatsapp~
+255693036618

Au

Tembelea
https://wingulamashahidi.org

@uwesmake na @Kodiaga pitieni apa

T255 state operator TISS naona umepata handle mpya?