Sigh
Hii life ina wenyewe. Yaani pahali mwezi iko, niku survive hadi Payday. Unaangalia nyumba unapata Geisha imeisha (fancy wordplay huh? Drops album!) Anyways, unadecide ah wacha uoge na sabuni ya viombo. Unamada na unachuck kuelekea waks.
Vile ushapanda paradiso umetulia imefika survey ndio unaskia kalightskin kamechapia kange ati “Aki hii gari inanuka sufuria”. My friend hapo ndio unaskia machozi imeanza kutoka unashuka hiyo nganya unatembea hadi town.
12 Likes
#ferkAdmean
1 Like
:D:D:D:D:D:D:D
1 Like
Wewe umetumwa utuchekeshe we forget our fight… :D:D:D:D
#ferkadmin
Hii #ferkadmin ni kumean aje? Ama mnaconfirm nilikua nanuka sufuria