Boss pesa yangu ni mingi na siekangi picha moja. Nakunywa GILBEYS almost daily . HII ni ya Leo
Uliza shemeji yangu wakanyama vile sisi huball
[ATTACH=full]31794[/ATTACH]
Boss pesa yangu ni mingi na siekangi picha moja. Nakunywa GILBEYS almost daily . HII ni ya Leo
Uliza shemeji yangu wakanyama vile sisi huball
[ATTACH=full]31794[/ATTACH]
Photoshop
You had to rush to a wines and spirits shop kupiga picha. Awuoro ndii
Ever heard of the millionaire next door? Majority of watu wana pesa mingi hawatangazangi adharani. Except Donald Trump.
Niambieni kama hii si uchokosh
Step1: buy gilbeys
Step2: tafuta biro pen
Step3: scribe your name on yr hand kama mtoto wa Std 2
Step4: take a picture of hand using yr other hand
Step5; post in Ktalk
Really chokosh…Really!!
[ATTACH=full]31795[/ATTACH]
fingerprints missing hmmmm
Tunajua unanunua Gilbeys only once per month (end month), then unaandika date ya every saturday kwa mkono yako na kupiga picha separate.
From today, you will be required kuweka picha ya gazeti ya hiyo siku, pamoja na Gilbeys
Kuna magay wanamezea mate io mkono na sitana a… mtu yani
kaka @uwesmake nilikushow uandike jina kwa gilbeys…sio mkono uncle…wacha kutuchocha…nikama kuenda kusimama kwa gari ya msee una andika date kwa mkono ati ni yako…wacha kutubeba ufala ile kuball unajuwa nikuscratch boringo uki kawasaki
weka mbica ya jina yako kwa gilbeys sio gilbeys kwa counter ya wenyewe ukiweka hii case tunamaliza uncle
hehe balling movement…
post dated “Palmela”
@uwesmake = bartender
mkono has no finger prints na ni ya left must be TEAM KAWASAKI
Wachaneni na shemeji,kwani gilbeys ni pesa ngapi?petty cash
Drinking something like that daily is simply dangerous and is a weakness. Unless you are doing a tot a day.
HIII KIJIJI NI FIAM WACHA IKAE, UNAEZA AMBIWA UWEKE PICHA UKISALIMIA YESU