Kenya is the only country where citizens apply milking salve(Arimis) on their skins, where students report to high school with metallic trunks instead of suitcases and milk buckets instead of basins. Kweli nyinyi ni ng’ombe kabisa.
[ATTACH=full]488422[/ATTACH][ATTACH=full]488423[/ATTACH][ATTACH=full]488424[/ATTACH]
Nyinyi (@ChifuMbitika na wenzako wenye uchoyo na utukutu wa kikabila) mvitengenezavyo vyombo vya kishezi na kuviuza, msiozingatia ustaarabu na kiteknologia wenye manufaa, mnaounga mkono utawala wa kihimla, wizi, utapeli na ufisadi; myafanyayo mambo ya kipumbavu ndio mfaidike binafsi, mnaowatenga na kuwadharau ndugu zenu kwenye kazi na biashara, mnaowaita watu wengine kalulu kwa kukosa ustadi wa kuwatapeli nyinyi vile mmezoea kuwatapeli, nyinyi ndio ng’ombe. Mvua imerudi; nendeni malishoni mle nyasi.