Ngirici : waiguru ataona governors seat huko viusasa

Overwhelmed by the sea of people that turned out in large number to embrace “meet the people tour” in Kangai. This tour is all about heart to heart conversation and I really appreciate the love. Asanteni Sana. [ATTACH=full]415022[/ATTACH][ATTACH=full]415023[/ATTACH][ATTACH=full]415024[/ATTACH][ATTACH=full]415025[/ATTACH]

Tuko nyuma ya Ngirici Mdau.
Kirinyaga iko locked.
Even JSKS has dumped Waiguru (chini ya maji) after eating all her…sorre… after eating the county money.

Uko peke yako, mimi niko na sweetie hadi statehouse

Karua will nyorosha them without mercy

Hakuna kitu sweet hapo. Huyo ataionea hiyo kiti kwa Viusasa.

Kwani unaishi shimo gani elder, watu wazee wapumzike. Kama sio Yello Yello, hatutaki

Kikuyu women are tough. I can’t think of any other Gubernatorial race that’s dominated 100 % by ladies.

Its the men who are weak,

Karua can gerrit lakini she is too experienced to be a mere governor. Alafu anakuanga na makasiriko throughout. Sijui ni juu ya kukosa deek ama ni nini.

She doesn’t know how to relate with peasants. Alafu Kirinyaga men walipenda pombe sana hadi no one is vying.

Hana bwana

Anakula nini na mali ni ya wakili??

I thought hio tabia alikuwa nayo zile siku alikuwa Kunguru.

Akuwe side hen wa @ChifuMbitika

If OKA can bag Karua, Muturi AND Moses Kuria, they’d be an interesting proposition. A Kalonzo Musyoka presidency is welcome. Yes, I notice he has a few crocodiles around him, but to me these are necessary evils in Politics. He is the least evil of the bunch.

These are the Kikuyu men in Kirinyaga

:D:D:D

Lakini huyu minji minji hukaa mtamu why lie.

Kikuyu has been a matriarchal tribe, since Mumbi.

Huyu mama will never hold any political seat in Kirinyaga again.happy anasimama Governor ndio atolewe

So if Kikuyu men are not men enough because their women are dominant. Yet these kikuyu men dominate men From other tribes. So kikuyu women =Alpha, Kikuyu men= Beta, non kikuyu men=.
.
.
.
Runts

We have had three Kikuyu presidents who are all men. The economy of Kenya is dominated by Kikuyu males

I suppose that’s why they are called the Mumbi tribe and not the Agikuyu.