Sambarry say oh yeaaaaaaaa[ATTACH=full]205712[/ATTACH]
:D:D:D:D:D…buda oa uache kukulia kwa pan.
Can relate boychoild hapendi kuchafua viombo.
:D:D:D
Hatutaingia io jela ya ndoa…resist!!!
Kuna a male colleague amekosana na warembo juu yeye ni msafi sana na mapishi yake inashinda ya @Gio , the first boy child kuona akipika mandazi kwake.
The more unadelay kuoa, the higher the body count and mileage your wife-to-be accumulates
si @maathai amuoe?
:D:D:D:D eih, that’s too much
We say no to the prison of marriage!!!
Hata three course meal anatengeza Kwa police line na nyumba yake huwezi ingia na viatu hadi slayquen hutolea viatu inje.
Kama wewe ni mchafu,wewe ni mchafu. Acha boychild ajivinjari kwa ustaarabu na raha yake ya usafi
Why is the uga-lai wet and slimy?
:D:D:D:D:D ule msapere mijinga aikuwa anaongea kisapere kiswahili Klist , alikuwa naitwa nanialienda wapi ?
Napenda onlette mimi
Ndio gani?
enyewe hii ni asylum with all standards
Pia mimi I like my shit clean lakini kupika my cleaning lady ananishugulikianga.
Usafi ni mhimu but kupika mandazi for breakfast ama chapo for lunch hio nawachia pinkie na yeye akipikiwa anasema food haijapikwa according to his standards.
Mkubwa, delete hii coment kabla waone tafadhali. Ntakutumia inbox