New ferry

[ATTACH=full]104352[/ATTACH] [ATTACH=full]104353[/ATTACH]

11 Likes

ebu weka tuone propellers zake

Joho about to cry again.

2 Likes

naona @kush yule mnono amerudi kutoka Qatar venye mambo yameharibika huko Gulf

https://kenyatalk.s3.amazonaws.com/2017/06/167835_ec9b61b4987fd3316286de566a75f8db.jpeg

30 Likes

That dude is huge.

Hehe

3 Likes

Huyu ndiye anatumiwa Kuinua Ferry au nini?

9 Likes

:D:D:D
Wueeh…

1 Like

this is poor eating habit…same way a feel sad for an oversized human being whose weight is almost of a mazda carol eating junk food

5 Likes

Kwa background ni vessel lakini iyo ya mbele ni nini ama ni nani

2 Likes

side mirrors za ferry ni how much

2 Likes

hiyo ni machine ya kuinua na kuteremsha ramp.

When is it expected here?

Twamuombea mambo yawe sawa kule Qatar otherwise atakuwa @Kush yule mwembamba!

4 Likes

MV.JAMBO (overall length 84M ) at the Ozata Tersanecilik San Vetic Ltd, dry dock in Turkey.

Kazi vs Vitendawilli

1 Like

Didn’t we recently build two boats or ferries locally? This is why we will never develop.
We need industry to build these up.
Well that’s my armchair analysis. I’m at a welding shop as we speak and I think we youngins need to embrace the dirty work

But that ferry is sweet!! SGR ya maji :slight_smile:

5 Likes

Are you talking about MV 001

1 Like

Can’t remember what they were called lakini zililaunchiwa hata kwa news za 7 na 9 zilikuwa. Majina tu ndio nimesahau.

Wacha kutaja hiyo gari na madharau ya kinjaro. Tutakosana bro

3 Likes