New car

Hii msimu ya krisi mimi nimetulia tu home sina form na nimeparara kama miguu ya @ChifuMbitika enye iliona maji na mafuta mwisho akioshwa na mathe yake.
Sasa magari zilikuwa zinapita tu mimi sina haja nazo nimekaa tu nje nikiota jua.
Kiasi kiasi Mazda Axela KDV ikakuja na kusimama karibu yangu venye ilishukishwa kioo nikaona ni my childhood friend.
Hio gari ananiambia wazazi wake walichanga wakamnunulia.
Huyu kijana ujue bado anaishi home kwa wazazi kama mimi. Na amenunuliwa gari.
Apart from that my other neighbor amebuy Toyota Harrier KDU. Yaani watu wanabuy magari mpaka naona gari ya mathe ikiwa toy car.
Relatives wamebuy Toyota Prado na mwingine Hiace ya matatu
Nimeanza kuuza sera achukue Honda Vezel mpya but ni kama hataki.
Back to my friend,mathe yake anamlipia rent lakini bado ako home. Si unaona niko tu sawa

1 Like

Kihii tupeane heshima. I could be your father you know.

3 Likes

F

wewe kipii next year toka urent nyumba kama wanaume wenzako

Utanilipia rent

2 Likes

tafuta kazi

1 Like

Kwani unadhani niko idle,pesa za hookups ni za wizi?

1 Like

use that money to rent a house

1 Like

Unataka kunifundisha jinsi ya kutumia pesa zangu. Nikitafuta ulinisaidia

It’s shameful for a grown up man to share a house with parents. Ata sisi wazazi wetu wamejenga Nairobi but we had to move out and hustle bila kufukuzwa

1 Like

Muuzie mkia?