Alafu mathe fulani ameni invite ni talk to her daughter juu anateremsha na kupeana vitu ovyo ovyo…saasa nikafika nimedunga official, Bible mkononi…,…acha sasa mrembo aingie sitting room. Dem ameiva kuruka. Ufisi ikaniingia. Vile nilienda kujiintroduce nikakuta nimesema," Am Jacktim the Jack, unaeza nisave na namba yako?"
Mathe akauliza, ’ namba unataka ya nini?
Nikamshow nitakuwa nikimtumia bible verses. Dem akanipatia namba.
Ufisi design ilikuwa on top of the peak, nikiwa tu pale kwa hao nikatext,“mathako ako na ujinga sana hata ndio maana budako anakulanga bibi ya neiba kama hayuko…hiyo kitu si sabuni…c utakam kesho kejani nikague Mali???”
Niliskia mathe akiuliza, "Deno, panga iliekwa wapi…!!
My big nose ikasense danger!!
Kumbe hii jinga ilinipatia namba ya mathake!!!
Nimejitoa kiMoses Kuria. Sahii naskia chifu ananitafuta na nimekaa hapa juu ya mti!! Nkt!
Write your reply…nimekwama kwa sabuni
meffi
:D:D
Upussy literally
Fcuk,that two minutes of my life I will never get back…upus
There is a similar hekaya in the exact words that was posted here some time back.
Meffi
Ngoma Ino
Nyenje ino!
Jackal wewe
Shitty post