Ndio Maana Rao Hawes Ongea Hii Maneno

Kumbe ni wanjohi anatufinyilia

[MEDIA=facebook]9167322983285315[/MEDIA]
[ATTACH=full]498066[/ATTACH]

And what is the problem with people doing business? Even sugoi sold chicken worth 20billion last year na hatukumsumbua.
This witchhunt must stop. No one is clean in Kenya labda kama unaskuma mukokoteni marikiti like njoroge

We told you mtakipata under jsk mkaona sisi wajaka ni wabaya saidi. Sasa tunafish fish Pole pole lake bictoria tukiteremsha na ugali ya sorghum bila kung’oa reli .

What is wrong with a Kenyan owning and running a “Chinese” company? Kama hajalipa ushuru kuna tax procedures code, kama he is engaged in criminal activities there is the criminal procedure code kama anauza vitu ghushi kuna standards developed by KEBS na njia za kumwadhibu. Hizi zingine ni sarakasi za wasee hawana degree.

Mchinku awachiliwe auze mali KU… Let me remind you all… whatever benefits the common mwananchi the government of the day will always find a way to disrupt it… Naishi by pass kutoka kwangu hadi unicity ni kitu 50bob fare na sijawai fika apo lakini kutoka ifunguliwe naskia ata kuna time ilikuwa inafika watu wana rudisha vitu kwa shelfs ju anaona by the time afikiwe kwa check out itakuwa saa sita ya usiku(hakuna wakati serikali itasaidia mkenya wa kawaida)

What’s the ownership of Fujian Festar Holding Limited?