Natafuta "Ndukulu"

Watu wa Thika, nisaidieni number ya Peddy wenu.

Kumbe siku hizi peddy unaelekezwa na madigits? Kwani siku hizi peddy wanauza ndizi?

Unadai kiasi gani

Ule ulikua unatumia ako wapi

Leta ngiri tano Niko na 10kg

Enda hapo stage ya Makongeni Babayao. Sema majizee ndo amekutuma

Hii inakaa mkono ya serikali