Natafuta Kiki ... (Eti nitokeje?)

Nataka nitokee pale Sabina Joy, nionjeshe mkia
Niseme ninatoka na @Female Perspective
Kitandani kisha na @Guru ama @Nananimpa
Nilete matata mpaka kwa @Purr_27
Kwenye lodgo zote mpaka vibanda
Nitangaze na kuvimba kwamba @spax ana yangu mimba
Au niwatukane wote wanaofungua Sacco za kuamkia na giza
Mpaka yule anayejiita @Fala 12
Niseme madam @Guru katetema akiniona anashindwa ata kuhema
Au @Chloe kanena ananitaka na @Jirani atatemwa
Nataka nifanye ushauri mwema kwa walio oza na @uwesmake , simwema
Kiki ipo njema au niende kwa @Nefertities

Ati ntokejee…
Mwenzenu ntokejee…
Ati ntokeje
Mwenzenu ntokejee

https://www.youtube.com/watch?v=c_To7WwYygs

@Bingwa Scrotum hapa umekuwa creative kidogo.

Wewe wariah nlikuambia in my eyes wewe ni meffi. Usinitaje taje kwa upuss zako. Juzi ume celebrate 40th birthday yako nikafikiri uta change but wapi. Plis rudi pale Borana upatiwe ngamia uji sort. Brare fwakin Siet.

Basbaas ya kutemwa na chloe?

Eti Mimi nakua statue nikikuona …

Acha na hiyo video, sikiza hii kaka

https://www.youtube.com/watch?v=EnQhqWZZUsk

Nakuchemsha, Hata mwenyewe huelewi vipi

what do u call a potato expert in kikuyu?

Answer:
Waru Guru
:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D

One day you on some spiritual vibe one day you on some other crap.
What’s up akhi, thought we on the 10days of dhul hijja?