Msee wa hii ngoma alirudi ocha ama??..alitoa ngoma na akazima…
1 Like
Nerea Alizaa ama bado…
13 Likes
guarantee ya mmeru wa newton karis iliisha…
4 Likes
Kigeugeu aliishiwa na rangi?
5 Likes
Kinyaunyau amekuwa fisilet?
1 Like
Size 8 ameishiwa na miguu?
1 Like
Na Nonini aliishiwa na keroro?
5 Likes
Manyakee walikula wakashiba ama?
9 Likes
mtoto wa Nerea alikuja na Saani yake…
1 Like
Heheeeee
Jua Cali aliishiwa na sunshine ama?
Kiasi tu
8 Likes
bobby mapesa alipewa kamoja ya pili akagwara winch
6 Likes
Redsan bado anaulizia who is the chicken now?
1 Like
Timmy tdat bado anakaziwa ka biker?
3 Likes
Last time nilisikia alikuwa jela.
Czar alimalaysia kabisa
Flex bado aseme nini
Aliamka, akakatika, kisha akapotea bam! bam!
14 Likes
Hajajua atazama wapi na nyundo yake itauwa wapi.
12 Likes