This is gold. [ATTACH=full]63959[/ATTACH] [ATTACH=full]63960[/ATTACH] [ATTACH=full]63961[/ATTACH] [ATTACH=full]63963[/ATTACH]
hi kitu tuliona 2002, acha kutusumbua
@Jazzman ebu chungulia hapa kidogo, picatinny rail zilianza kutumika lini? kisha mtu aniambie hii Pablo madawa alichapanga hii biz which years? Nifafanurio
http://www.kenyatalk.com/index.php?attachments/file-jpg.63963/
mwenye alifanya hivi nafaa Ktalk award.
Angeoza I hapo mwisho-> NARCOSI
:D:D:D:Dna"kwa raha zetu" plus pia wamama wakiswahili kwa background.
Picatinny rails zilikuwa testing through the 80’s zikaanza kuappear after desert storm. Kuna the earlier weaver rail system inafanana na picatinny ilikuwa during the 70’s na 80’s
WACHANENI NA JOHO 2022 tunasimamisha yeye
Sonko husahauliwa suddenly when speaking about narcos.
Kwa hivo zilikuwa za US military in the 80s/90s, right? Tuseme huyu director amechesa watu kidogo, akijaribu kushow ni kama zilikuwa zishaanza kuwa kwa guns za civilian au za export; si movie iko based in the 70s/80s hapo…
Kazi ya hollywood ni kuchesa watu. Unfortunately sio kila mtu atanotice hivyo vile uliona
Nimeona picatinny rails nikaenda gugo… onge idea mlikuwa mnaongea juu ya nini hehehehe
[ATTACH=full]64029[/ATTACH]