Naona Watu Twitter Wame Leak 4th Year Transcript Ya Sakaja Johnson

[ATTACH=full]43948[/ATTACH]
Those grades, wueh? Kinyanganyiro cha governor Nairobi kimeanza in earnst, nangoja za Sonko, most likely zitakuwa ma A, za kununua.
Man down, man down, huyu ndiye ningepatia kura ya govana, lakini mambo inakaa haiendi poa

3 Likes

wawawawawa aliqualify aje kuingia ?

Born in '85. Fourth year in 2003.

Too far-fetched.

3 Likes

aii!

Fuaaaaack angalau nilikuwa na A kadhaa na sikuwahi chapa D EVER, but who cares sifanyangi kile nilisomea

1 Like

Hiyo course labda ni muoto, naona hata exam centre ime mis-spell “Bayesian inference” na the only B ni ya project which ni group work

1 Like

2003 ni admission date, hauoni hata admission no. Wewe haujakanyaga campus ya mtu

17 Likes

No. /2003 registration denotes the year he joined. Wouldn’t be bothered soon much about academic scores.

2 Likes

Ulifanya Actuarial science wewe?

1 Like

First class in actuarial in UON graduated in 06/07

3 Likes

Supplementary tano na anagraduate na second lower. kwani. And he is rolling with kings while wewe na A zako uko busy ukipigana na mashida kidogo kidogo.
Had he got straigh As he would be somewhere working for equity, Insurance, ama KRA for peanuts. hizo A za shule nili-conclude ni umavi kitambo haziwezi saidia kitu. The best you can get is a pat on the back by society and a delusional sense of security.

37 Likes

Boss, itisha kitu unataka kwa bill yangu. Clap Clap. 1st Class in actuarial. Mimi niliponea tu nikamaliza na mimi nilikuwa mtu wa Kabete campus.

1 Like

Now that you mentioned it, I had to inspect again. But I doubt the grades contribute much to his status in the society.

1 Like

Hapo kweli budah…i know a guy who did computer science na anauza ingredients za chang’aa…akili na ujanja yako ndio itakusaidia

5 Likes

Bull shit, my siz. was class of 05 stats na kulikuwa na acturial

I also know one with a string of straight As in Actuarial science and is now a smalltime swindler.

2 Likes

Survival model na life contingencies …tungoje tuone venye atazitumia

yea

WACHENI UJINGA…Sakaja failed in EXAMS but passed with a distinction in LIFE!..How many people his age can match up with his achievement. I know so many people with good grades in school and college who are struggling with life while the academic dwarfs such as Sakaja, Sonko, and Waititu are ruling them literaly

16 Likes

Kusoma mpaka Uni na kupata top marks ni overrated, naona wenzagu waliopata A KCSE na kupata degree za nguvu in Uni, all for a pathetic desk job in a dirty govt. office, Street smarts ndio kila kitu.

7 Likes