Naomi

I’m using a a Xiaomi right now
Kutoka ni turn off recommendations I don’t get ads

Hata kwa file explorer ads ziko

Kabisa i have one and i aint regretin’

Ziko but on a very low scale after turning off recomendations

wait…boss redmi 7 is less superior kuliko redmi note 6 pro…

unless you are talking about redmi note 7

@Deorro ulesemaje kuhusu hi mi store Kenya?

Wanafungua on Sato huko the Hub

How please?

nadhani ulikua umesema sio official xiaomi store/site, nikachorea hio store. ama ilikua msee mwingine?

Official Xiaomi Physical store inafunguliwa the hub on Saturday. Hiyo Mistore haikuwa official.

swafi saiidi

But is it safe to buy from them? Jumia have hiked shipping fees to my location (kitale) shipping fees ya a single item like a phone is now 3K

also on my second Xiaomi in less than an year na after turning off sipati. Plus walisema wanatoa in MiUI 11.

Mbona bado sioni kama ni yao?
Tech sites kama gsmarena always report on upcoming Mi stores na hawajasema kitu

[ATTACH=full]241730[/ATTACH]

[ATTACH=full]241731[/ATTACH]