Naomba Tujuzane Taratibu za Mahari Kenya!!

Waungwana, Mabibi na Mabwana,
Wazee na vijana,
Wembamba na Wapana,
Nawasalimu huu mchana,
habari zenu!!

Tukiwa tunaikimbiza mwezi huu wa Ramadan, taratibu mambo hayakuwa sawiaa, ila jambo la kheri mi ni mzima wa afyaa.

Mwezenu jirani yenu wa undugu wa damu kabisa. Najua nitapokelewa na mikono miwili nanyi shemeji zangu.

Kikubwa kilichonileta hapa ni kutaka kufahamu tena kwa hamu ni Utaratibuwa Mahari kwa binti wa kikuyu niliye muopoa.

Kwa kiwango cha chini kabisa cha fedha naweza pewa binti kwa kiasi gani?

Nataka kuzichanga japo mambo si haba, ila kujuzwa mapema ni vizuri ili niongeze mahaba.

msaada tafadhali!!

@pseudonym @hakimoto @kenya256 @girlciki93

nimekueleza ,ukule kwenyu. utawezana na kunguru Wa huku. kunguru hafugiki mkuu. heri utafute mnyamwezi uko morogoro.

NIU VILEJA;

  1. Naona una pang’ang’a, jabe-jabe na ukananda mob sana. Ungekuwa mwerevu ungecheza ndogo upimanishe wadhii halafu uanze kuchangia mgodo-mgodo.

  2. Reason yangu ya point No 1 ni juu unaparamia ku[SIZE=4]omba ujuzwe taratibu za mahari hapa Kenya as if Kenya ina kabila moja. Kila kabila lina utaratibu tofauti.[/SIZE]

Wacha za ovyo.

oh, and No3. The bad swahili, that’s deliberate.

Mkuu tutabanana hvyohivyoo!!
Atafugikaa tu

Daah! Sijaelewa chochote yaani nimetokapa kapa kwenye maandishi ya jamaa.

Ngoja nitarudi tena kusoma upya.

Shida yenu wakenya nihii mna umimi sana na Chuki
Mtu kaomba kujuzwa wewe mjuze
kuwa na makabila mengi kunahusiana vipi na mada hapo juu!!
mleta mada kisha elezea kabila husika
Inamaana Kenya ukiwa mjaluo hutaweza kuoa Mkikuyu!!
Wajuluo walipo oa Mkikuyu walitoaje mahali
au humu wamo kikuyu waache wajibu
Wacha utoto

Mkuu samahani kama nimekuudhi,
Naomba uusome uzi kwa usahihi na umakini!

Nimeeleza wazi kwamba ni binti wa kikuyu.

Karibu

Dogo dharau na kebehi nyingi
Nimemtajia ni binti wa kikuyu,
Papara na mihemko kama asha ngedere

Hawa watu nishida sana

Yaani sote tuketi chini tuanze kuratibu:-

…1. Pwani ya Kenya kuna Wapokomo, Wataita…taratibu zao ni hizi, Wamijikenda wakiwemo Waduruma, Wachonyi wa…

nikusimulia taratibu za kila kabila? Si kheri tuchapishe kitabu? Kichwa cha uzi huu ni kuhusu taratibu za mahari Kenya. Kenya!

Nimesema ni binti wa kikuyu, sasa mzee baba hata kusoma hujui?
Au ni kuparamia tu?

Mkuu! Kwanza tuelimishe taratibu za kwenu… Wewe ni mgeni hapa, Na ni kama baada ya kukaribishwa (welcomed) kama mgeni sasa una taka kukunia kwa mlango ya mwenye nyumba na hata unadai kulala master bedroom yake!

I hope I have expressed my self well in kiswahili!

Sasa umeandika hii yote utoe matusi ama unataka akuoe. For once let the guys get answers from those willing si ati ukikosa kureply watalala njaa.

Hiyo ni kauli yangu. Ukiwashwa nenda amu.

@The Tweet ulisema unaletea babangu mahari lini?? :slight_smile:

Usijali bibie,ila hukusema unakaa kaunti gani.

mdau naomba nikutusi…Ghasia mbwa takataka hii

Vipi kaka? Tafuta mbuzi mia mbili (mbuzi moja inauzwa ksh 6000),mvinyo mtungi mzima ndio mazungumzo isiende kombo.Binafsi natamani kukamua dry fry toto zuri kutokaka bongo

hope utaelewa, nafanya direct translation.

Utaenda at least safari mbili, ya kwanza ni ya familia kujuana na ya pili ni ya kuenda kujibizana kuhusu bei (bargain), hapa unahitaji wazee wenye ujuzi.
bei italingana ni mkikuyu wa wapi, nyeri, kiambu, murang’a, kirinyaga … lakini ita range from kes 30k to kes 300k,

She or he