Mshapokea saramu zangu tere tere…???
Nimekuwa nikifikiria msemo huu…NYANI HAONI KUNDULE…Nisaidieni kutafakari huo msemo…
Ulikunywa ujinga breakfast?
Yaani… Nyani hana jicho kwa tako…
Loosely translated…bible verse fulani husema why do you see the speck in your brothers eye while you cannot take the log out of your own eye… hii inaenda kwa wale watu huona shida za wenyewe lakini shida zao kubwa kuruka
kundule ni coomer ya fisi na nyani hawezi iona
Nyani @ol monk kujia ndizi ukijibu hii swali
Welcome back mr. @DI TICHA, nyani in english is monkey. Example is like @ol monk advising you on matters wife while yeye bado ni singo. Asande
Inaeza kuwa ujinga uko pande wako…Mbona usijiulize ka hiyo kichwa yako ndo imejaa Uji…???
Sasa wewe…Nyi ndo wale wazazi waliuza ngombe kuelimisha kondoo…??? Sababu huonangi shimo yako ya mapua, inamaanisha ni sababu hauna macho kwa mapua ama??? Sheep…
Warthog hii…Umesema ni sasa…??? na Fisi na Coomer zimeingilia wapi…??? Seitan
Asande sana…Lakini nlikuwa nkijua Nyani ni Monkey…
Umeskia hapa ndo shamba ya ndizi iko???
Sawa Mzee 2mbili.
Hizi aibu ndogo ndogo ndo sipendi…Ata hii nlikuwa nkijua…
:D:D:D
Pole 2mbili lakini mganga=mganga, sokwe=gorilla (still your cousin)
Nongwe nayo ndio gani?
Basi si ungesema ol monk ey haoni kun du lee