naomba kujuzwa bei za guest za kuanzia 10000-15000 mkoani Dodoma

naomba kujuzwa bei za guest za kuanzia 10000-15000 ndani ya mji wa Dodoma.

Care guest house bruh

Aisee
Ngoja waje wakazi wa dodoma

Niaje @Shunie

Maeneo ya chuo cha CBE,oppsite na chuo zipo nimesahau majina yake,kama unatoka Dom to Dar ni upande wa kushoto…

Ni poa mkuu za wewe

Mzima nashukuru, kuna vile unaweza ni hook up na dadako? Huku dryspell yaniumiza sana

Gwami Hotel, njia panda ya kwenda area D…ukipita mataa mbele kidogo kushoto kwako…km nakumbuka vizuri jina ni hilo

Naweza pata wapi malaya wa bei nafuu Dodoma chief?

Kampala guest house nshasahau mitaa ila zipo maeneo ya sokoni huku!!

Upande wa malaya rudi katikati ya mji. mwaka mmoja nyuma walikuwa wanapatikana eneo la ilipokuwa LAPF chini…ama nyerere square kwa nyuma karibu na Univeristy of dsm computing centre…mida kuanzia moja na nusu jioni…wapo wengi wanafunzi toka udom, cbe, mipango, sjuit na wazawa wa hapo mjini wanajiuza kwa urahisi tu. Ukishindwa kabisa usiku nenda chako ni chako chini ukitoka nyerere square kwenye mataa kule

alafu gesti za elfu kumi kumi, zinapatikana mitaa ya ilipokuwa ccm makao makuu kwa nyuma, sijakumbuka ni barabara ya ngapi ila zipo humo ndani ya maduka ya biashara. zmejificha ficha. Pembezoni (nyuma) ya shule (jamhuri sec school)

hahahaha

Ahsante, wanatoza pesa ngapi hivi per shot?

kwasasa sijajua ila wana njaa sana, alafu idadi yao imeongezeka siku hizi. Wamekuwa wengi mno bei rahisi kabisa mkuu. kuanzia elfu 5 unawapata

Nenda zilipo studio za dodoma FM pale, 15000 ghorofani, Mtaa wa Majengo zipo nyingi.bmademu nendaMaaika pale. Usiku hujaa kushinda wakala. Ratio ni 1:4:yaani fuluuuu!! Bei zao sijuibkwa vile si mnufaika. Ila nakhauri kunywa kwanza peke yako then utokapo jitwishe goma lakko likakuuwe

self contained za 10000 zipo?

mkuu self contained kwa 10000 zinapatikana?

Makubwa haya jf irudi tu jamaani

Dry spell namalisa mimi kabisa, niko mbaya saidi ya saidi…kuna vile unaweza okoa jahazi?

Mkuu siwezi pambana na hali yako au upige puchu sawa sawa jamani jf yetu irudi tu tuondoke huku