Nani Ashawahi Kula Hii??Ama nyi wote ni Omegas and bitter males wa juzi??

Shenji sana…tungetokea shule alafu usione moshi kwa mabati ya kwanyu unajuanga hio ni ile siku unakunywanga maji na miwa unarudi kirathiii
otherwise ukiona moshi unajua kuna haka gatheriiiii ka mbembe njua and wairimu…arafu mamako amekuekea mtungo huko ndani…unatafta kanyanya kamoja na ka avokado ka muhaishithanio and unakuwa na mess moja wazimm…alafu unachapa uji ile imetoka gwa kinyaa…

haka gatheri was there alot…najua vijana kama @Meria Mata wale wamelelewa na weetabix cunt relate…
[ATTACH=full]235266[/ATTACH]

muhaishithanio

:smiley:

Honestly cunt relate

I miss this dish

5 Ways to be a Village Elder on Kenyatalk.
#1. POST BULLSHIT!!!

Ha ha ha ha! Funny shit…

Your son resembles you…You can’t run away from him…kwanza hiyo king’uruu

Cunt relate, born and raised in nairobi, south b to be exact

ngui sana!
merrenios+maQulQids ketini paree------------------------------------------------------------------------------->>

Ati @Meria Mata amelelewa na weetabix:D:D

Hehehe! Yaani NV unaingia na unaanza kuharia wazee?! Anyway those are precious memories of gatheri Ka nyûngû.

na kamito ga cucu

Village elder with multiple accounts … tumia hii account kutuosha macho

Sasa unataka tukupigie makofi? [SIZE=1]Ghaseer[/SIZE]

@Yuck Fou Admin = @Meria Mata

Wapi " mbosha" ? Githeri bila mbosha si githeri cc @Mrs Shosho

mtu anaingia hapa anatusi VC… chako ki motoni

:D:D very creative handle message imefika nyumbani