Nani anajua huyu Dem?

Ametoka na lappy yangu tukiwa Kwa BNB

2 Likes

Iza mzee,ulikua unalipia ama ulikua umeingiza box?

Nilimkatia akaingia box. Hii ni mara ya pili kumkula na ameamua kupita na laypy yangu

1 Like

Hapo kubali umechezwa. Lakini ukiona dem amefunga kitambaa kama hio frame one,jua huyo ni mwizi

4 Likes

Waah! @rexxsimba has posted her here mara kadhaa.

Ngoja tu kiasi lazima CSI ichangamkie hii stori.

Enda police station, hapa huwezi saidiwa

5 Likes

Enda uchukue OB, peana ya macho atakutafuta akununulie upgrade mwenyewe

Pole kaka, hope it is not a vital tool for your work.

1 Like

Masaibu ya Umaraya, kwenye Ulimtoa kaulizie huko, lakini ngoja kidogo maraya wenzake @MTINGIZA_KITANDA and @Agwambo hawajafika bado they might have some useful Intel.

@Negroland

:joy: :joy:Hapana sio huyu.

Mnaongea vibaya bana, hiyo lappy ni ya job. It has very important information

1 Like

Alaa huyo Dem si ni huyo @rexxsimba amepost hapo juu?

20230923_003539

1 Like

Huyu ni bibi ya Kenti(yule jamaa wa MOG, the famous gospel group). Mwambie umemkulia bibi na akakuimbia laptop…



6 Likes

Wacha kutubeba ndogo ghaseer

10 Likes

Huyu ni bibi ya wenyewe bana. Acha kutubeba mavi. Ghaseer

3 Likes

Hekaya za Abunuasi…chifumbitika wacha upuzi

8 Likes

Full hekaya bro :smile: Bora tucheke

1 Like

:rofl::rofl::rofl:

Ni Bibi ya @johntez_addi_gaza_ms ,

Ongea nayeye poa.