Zama hizi unazikumbuka?
Ilo shuka ndo rangi yake?
Hakika huo ni mwaliko wa PAPASO
Kaalikwa mpitanjia ama
Yeyote anayewiwa kupapasa
Hahah! Ujumbe hadi kwenye shuka
Enzi hizo watoto hawaelewi Papaso ni nini!! Ukianika hivo leo Mwenywe tu utaona aibu utaliondoa.