Nakuru Ninasija

Hizo sides za baha ndio zangu.
Tuonane
[ATTACH=full]26758[/ATTACH]

1 Like

beautiful countryside

makarao wamejaa kwa hio barabara

ngomba, jaba kibao half na kisokorokwinyo za kungoja barnanas na stem mbillo ya mutongoi

taking off from nai

Unaongea kikamba Ama?

8 Likes

@Koolibah umenipoteza
@Fala 12, wamejaa sana. Tumeitishwa life savers. Luckily tukonazo.

Kwani iyo barabara ya bahaa imekua recarpeted. Last time i was there ilikua imefika Sita

Hapo ilikuwa ile stretch tamu ya mai mahiu

1 Like

Fika Kabazi ungotee wazito wa kwangu

1 Like

Nitawagota wote

1 Like

umepotea wapi. jaba, kibao, kisokorokwinyo mbillo wachia mutongoi

ndio nafika nax vegas. aaaaah I luv this city

City under the Sun… Karibuni Naikuru.

1 Like

Nami pia nimefika.
Asante kwa makaribisho
[ATTACH=full]26802[/ATTACH]

Town.

Huko ni Bahati wapi, Kendurumu, Maili Kumi, Mugumo, kwa D.O ama wapi?

City