Hii ndio mlo yenu sasa
[MEDIA=twitter]1630104793627631619[/MEDIA]
Hii ndio mlo yenu sasa
[MEDIA=twitter]1630104793627631619[/MEDIA]
@PHARMACY hamjai wacha ii tabia
Mimi napalilia maembe polepole bila kusumbua
The joke is on you …
how, I dont live in garbage mountain sewer rat
Imenikumbusha German shepherd ingine iliruka kutoka kwa gari private hapa kangemi ikapitiwa na starbus…mwenyewe aliichukua akilia akaenda nayo
Prof. Uko sure si wewe …
Wasee hawana degree ndio wanaamini Kenya kuna roadkill ya kutosha ya paka na mbwa to sustain the samosa demand.
Hizi vitu mnasema zinafanya tuogope kukula samosa na mutura
Hii inaenda kuziwa ma-chinku pale yaya
Sambusa lazima zipikwe