Nairobi shamba ya mawe

We lack integrity as a society

2 Likes

tom_payeye niaje

1 Like

Nilikuwa nashindwa mtu hupata aje gumia na imebuy khaki

2 Likes

Alafu utapata huyo jamaa analia serikali Ina leaders wabaya. Na yeye ni takataka tu.

2 Likes

Kumbe hivo ndio beste yangu alirudi na ka gunia ka ma trouser baggy baggy kutoka pale gikosh.

Beste yangu alinisho nafika kushika khaki tatu safi nibadilishe luku. Akaenda gikosh. Mujamaa alirudisha na kagunia nikashindwa niaje ameshika nyingi hivo na pesa yake ilikuwa kiasi. Jamaa alizifungua akashangaa. Ma khaki biggy kama zile za akina Kanda bongo man

4 Likes

Its interesting how those mamas wanajifanya hawaoni yet they are part of the team

Hehehe. You had me at Kanda Bongo Man

2 Likes