Nairobi ni mji wa Wezi,mamalaya..flying wanahoji

Remember that song? Hautrust hata maji.
[ATTACH=full]92270[/ATTACH]
[ATTACH=full]92271[/ATTACH]
[ATTACH=full]92273[/ATTACH]

Pesa pombe siasa na wanawake…

WTF!!! Ebu tag boinet pale Twitter.

ni ya majaambazi…

If you live there they know you…

na uchezi chini…

Most likely Nis.

Wtf!

The guy in red apron is “well prepared” for that job!

Me thinks they work for the government…

Mtaa gani?

Hapo ni wapi boss.

Huyo mbaba anakaa wasi wasi, sio mtu straight na hiyo inaeza kuwa ni gari ya mtu imeenda tu hivyo. . . .

Kama ni wezi toyota ime malaysia.

toyota fielder ni gari ya mahustler kama watu wa taxi, ikiibiwa haiwezi kosa soko

Tuambie hii mtaa ni gani@Ericko

huyo jamaa ako na jacket ya black ni sanse wa NCIS they do this all the time

Buda, NCIS haiko Kenya…

hehehe pole i meant KNIS…ni effects za kuwatch too much NCIS series

Hio KNIS pia hako Kenya…maybe NIS