Is it possible ama safaricon walifunga loopholes zote
1 Like
Kukona Dci kwa hii group. Chunga
1 Like
Wacha ukora, find a legitimate line of work hata kama uchumi ya uhuruto ni mbovu, if you want to leave a long life
3 Likes
Leta details zako, nikusaidie.
3 Likes
Niachieni hii kichana mkora.. industrial area kuna free housing, free meals na pia nguo ni bure.
1 Like
Iko nini dci wa kenya ni mafala
1 Like
Inda nmekua uko for long msee
2 Likes
Are you sure? Ni mafala until iwe ni wewe wanataka.. usijaribu
Dci wa kenya ni mavi kuna mwenye ashawai nitrace nkamwambia ajichunge najuana na kasongo long story short ye ni morio wangu sana
1 Like
Inategemea na makosa yako.. si ujaribu kuua mtu ama kuibia mtu mamilioni
Sitaki kuua bana:sweat_smile:
1 Like
Polisi wanaeza kuharibia future.. kaa mbali na wao
1 Like
Lazima upigwe photo na kama picha ya ID hazi fanani utakua pipi ya onyi pale kamiti