Ni Siku nyingine,MUNGU wetu tunaendelea kukushukuru kwa ajili ya maisha yetu , tunaomba ukaendelee kutusimamia sisi Kama marafiki na ndugu wa karibu,
Amani na Upendo wako, vyote vikatawale katika maisha yetu na ikawe siku yenye mafanikio Kwa kila moja wetu, nasi sote tukawe watiifu na wakamilifu mbele zako
MUNGU wetu,tunaomba ulinzi wako kwa kila mmoja wetu, pia Ahsante kwa ulinzi na baraka nyingi kwetu na kwa kuwa unatupenda,
Baraka zako MUNGU wetu zikawe Kwa kila mmoja wetu kuanzia sasa na hata milele , kupitia Kristo Bwana na Mwokozi wetu Amen