Na mimi nimekimbia mafuriko..mnipokee tu..

:(:(:(:frowning:

karibu sana mkuu.

Natamani tungekua na namna ya kuwapa taarifa wana JF wenzetu waje huku. Itachukua muda kidogo kuzoea lakini hatimaye tutarudi kwenye kasi yetu

karibu sana

Mdogo mdogo tu, tutajaa hapa

Hahah…wapeni link ya kuja huku

Pamoja

tumeshaanza kufurika .Hahahaaaa

Shidaaaaaah

njoo tu haina shida

Kumbe mpo huku wandugu.nashkuru sana

joseverest, kama kawa ndani ya nyumba… Kweli JF haimwachi mtu salama…

Mwifwa, nimesoma makala kuhusu JF kuhamia KenyaTalk katika mtandao wa BBC, nikakuta wanakuongelea… Umetisha…

Igweeee duh nliugua mwenzenu. Haya tuendelee mwendo mdundo.

Iko wapi mkuu nikaisome.

Unaweza kuipaste hapa?

Isome hapa: Jamii Forums wa Tanzania wajitenga na mtandao ulioibuka Kenya - BBC News Swahili mkuu…

Nimeiona mkuu, naona wamekopi post zangu zilivyo kabisa kuwa uthibitisho wetu wa kuitana huku ugenini

Karibu, naona kuna watu wanajaribu kuzuia mafuriko kwa mikono.

YAP YAP AROSTO YAKE SIO MCHEZO

ila ipo siku jua litawaka na mafuriko yatakauka…