mtu wa boda amenibeba na akadai 200 mahali ya 50,nimekataa kulipa na nimemwambia akuje na sacco yao yote ya boda ,i need to flex my knee with some flesh
Flex the knee. While kneeling down. Issorait.
Hao watu si mchezo by the time they done with you, utakuwa unaitwa Matako kubwa.
semeji unasumbua
130kgs of pure muscles hapana tambua sacco za umeffi
I thought wewe ni mbirrionaire?
ni watu wa boda wananisumbua,na huwa naona vita nalia machozi nikikumbuka vile nilifanya thigio
tunakuwa billionaires through saving not spending
Cousin, kama hujapona please why don’t you get a second opinion?
Utafanyiwa team building noma hadi ushangae
Mugo wa Wairimu alishikwa
mimi?wewe hunijui,wamekuja kama tano nikawaambia waende wakuje wote
iko sawa,i only need to kick some ass
Kwani General ulifany(w)a nini Thigio?:D:D:D
niko nyuma yako
hizo nitaongea uzeeni
CoW
:D:D:D
Ni ile maiti imezikwa karibu na mto kwa msitu wa mzee nani…
mtu wa boda lazma muongee kwanza. they are greedy, but you should also realize boda is sometimes very expensive.