[ATTACH=full]103214[/ATTACH] amesija nyeri…
wananchi wamefika…
Vyenye Simon amesema!
huyu mwanamke lazima huosha hiyo t shirt. Kweli hajawahi soma vile imeandikwa??
Simon Says; “GTFO!”
He’s finally seen the futility of holding parallel celebrations and went to the official one.
Ha ha, si huu jamaa ni kigeugeu.
:D:D:D:D
Simon Wamathai ama Simon ni nani?
Yes, hao wawili walakin si huyo wa katikati aliye vaa vazi lina maandishi ya matusi yanayo huzishwa na ngono. :D:D
lakini wanatembea pamoja na kama vile @It’s Le Scumbag atakuambia, mceera na mukundu hukunduka tagwuo
:D:D:D:D
Wakifuata wamathai huko Nyeri shauri yao.
@gashwin confirm what these women are upto at the madaraka event in Nyeri
Hapo ni ukwelu kabisa. Hata wewe @Fala 12 unajua 'kiamia kimwe cimiaga ciothe"
The incoming PRESIDENT.
As CWA member, imeniguza
Probably she doesn’t even know what it means.