MY TUESDAY

Sikuenda kuchaguana…decided to kupiga sherehe since nilipewa off ya lazima[ATTACH=full]456821[/ATTACH][ATTACH=full]456822[/ATTACH][ATTACH=full]456824[/ATTACH][ATTACH=full]456825[/ATTACH][ATTACH=full]456826[/ATTACH]

Eno ni thenge swafee,enjoy utamu

Me najua kutengeneza Ndondiro. Nipe job bana

ĩno*

ndũndĩro*

I’m still learning from shiny eye how to write like the Mt people.

likewise. ndio maana ninashine na nyinyi :D:D

Rushia elders minofu

Wewe ni mlunje kweli,uko na usapere mwingi sana…ohhhh lakini pale Matunda wasapere wako kwa wingi…

mbuzi za wasomali huwa zimekonda

Hizo viatu miguu na suruali…:D…mchongoano zikwom

:D:D:D
People don’t dress up to slaughter a goat. The blood ( and sometimes shit from the intestines )splutters on them.
Na hio kiarrru nadhani ni Merrell.
Lastly, Mwanaume ni kuparara :D:D:D

Jambazi sugu stick na kupiga watu ngeta. Maneno ya kuiba mbuzi utawezana nayo …

Enda ukakule tatha nugu hii.

Hapa village uki post anything maghaseer zinaanza ku zoom na kutafuta makosa vile wataku tackle. Watu bure kabisa

Mbwa hakuna kitu unajua

I can see human being offering animal sacrifice. Hii ucha

Ya Baba yako ama?

Hufai kuchafuka hata kidogo ukichinja mbuzi…ile ni kama kuku mamaa

Sherehe bila pucci si sherehe