MWIZI WA SIMU

Hehehe…you are an evil man

What??? That shit happened so long ago man, what took the courts so long to prosecute those goons?

3 Likes
1 Like

Welcome to Kenya . Some of these judicial processes need to have time limit . A specific case has to be finalists by 3 months . Otherwise a case will drag for ever

2 Likes

shemeji saa zingine kuwa tu unaongea kiteso!

9 Likes

Waaahhhh baada ya miaka mingapi.Enyewe justice is expensive in Kenya

Na indeed ni ukweli.

Watu wanapost vitu unbalanced hapa na ni annoying sana

Juzi I called out another

kwani alikua anaiba mpya kwa duka

He he osungu saa zingine hunichenga unwillingly . Samehea shemechi

1 Like

@Kirwa @pamba last weekend nilipitia huko soweto. Wacha tu niseme hiyo area code iko na hewa tu ya ujambazi. Na kanini bumps za huko ni kubwa hivol?

1 Like

These cases takes long because defence side have to make several applications to demonstrate innocence on part of their client at the same time the more a case drags kitunguu inanukia proper kwao and at the same time the prosecution have to make a water proof case to warrant a sentence @Nananimpa kuja kiasi.

Si hii tuliona kwa video venye walifanya msichana wa wenyewe.Enyewe wacha watu wakule pakitokea ka mwanya…may they be jailed and rot in there.Mnafaa sasa mshike mmoja wa “Nawasuku” sacco na apate dawa kama hiyo.Hao vijana wamemea pembe pia

1 Like

Lata complaint tufungue kesi,shida ya wakenya hawapendi mambo ya kuenda Ku testifying,kelele tu.

1 Like

If I was one of those guys ningekuwa Dar saa hizi. They’ll get 20 to life for nothing.

You just stay away for 10 years and then sneak back to Nairobi pole pole.

Ngoja saa tatu kamili naona watakua funzo kwa kina @Mzee mzima

faga wariah jinga

Nisaidie hio video ni wank nayo

Kuna time Wahome Thuku stated that he had seen them in court almost a year after the incidence

1 Like

Three men charged with sexually assaulting and violently robbing a female passenger in Githurai in 2014 found guilty; sentenced to death. pic.twitter.com/UIE7viW6Jw

— Citizen TV Kenya (@citizentvkenya) July 19, 2017

as ofisa @pamba predicted!

1 Like

Naskia anaitwa Onyango na alikuwa jambazi sugu.
@pamba please confirm kama huyu ndio walishoot my friend in Mihango some three weeks ago.
Sadly, he died on Sunday after 2 and a half weeks in a coma.:(:frowning: