Ukimaliza kuchunga ngombe na kondoo unarudi kwa nyumba bila stress.Ama namna gani @captain obvious ?
Hizi drinks nasikia brewers huwa wanasoak ngotha zao ndani kuongeza potency.
Uliskia wapi?? Labda za mathare…Ocha busaa ni legit…Tembea bwana
Kodiaga hii ni nini?
bachela @Kodiaga malaya wa Nairobi walikunywa pesa yako yote ukasota umerudi Bungoma kukunywa takataka na peasants . Godfather wako @Mimi Huwa Namwaga Ndanii alifungwa China drug trafficking
Kwani hakuna version imekuwa filtered? Heh waluyha wakikunywa lazima kukuwa na chakula kwa drink
Juzi alipost mbisha hapa akikula fried ama ni roasted kumbe kumbe, niliona pia kwa mifugo si mchache; ng’ombe mmoja, ndama, na kondoo. Sahi naona anakunywa uji na kasuku ya mafuta ya cowboy. Kumbe ni pesa alimaliza.
Kijiji we need a paybill. Tunafanyia elders Kenyans for Kenya kiasi
In other news, pia @Karoga alimaliza pesa sahi yuko ocha pale nyahururu anabugia makali.
@Muthafari aliponea bado savings ziko na anaishi kwa mzae wa kwake.
hiyo ni busaa. hapa siwezi kosa kitu kwa siku. AMG bro tafutia mimi BMW X6 safi na ikue na turbo na exhaust ya kelele
Kabla nitafute, unamumunya busaa kiaje, hio SI ni kileo ya watu wazee alafu mnatumia pipe kuvuta hio kitu kwa nyungu. Hii ndio Ile favorite ya @Abba?
Hapana argue na watu ya cerelac imewekwa maji ya keringet ndo toto asiharishe,utachoka akili
Nini hii?
Bado wanapima busaa na gorogoro…very heavy alcohol
@kodiga rete contacts za vienyeji pure from ingoland
Oyster Mushrooms
:D:D:D hata Mimi nimejaribu hata ku Google image search. Haipatikani…

Ni busaa
Expert on western culture nimeland. Wale wote wameandika upuss about busaa ni mbwa koko wote na hawana hata diploma. Beer is made from three ingredients. Google them.