[ATTACH=full]429984[/ATTACH]
Huko kwao yeye ni conquering hero
Wakenya saa hii hawachagui populist. Moha jicho pevu will struggle to retain that seat. Njagua kigeugeu ni mtu ya slice moja kama amesonga.
Kimilili nachukua MP na popularity ya KTALK
unajua moha alipita independent? Huyo anapendwa bado
Mrs Mungatana … :D:D
[ATTACH=full]430022[/ATTACH]
[ATTACH=full]430023[/ATTACH]
Coast ladies are so beautiful
Atatoboa lakini ajue vile atacheza white
Kama mum yake " Zainab Kalekye’ alitoboa kama woman rep, mbona yeye asitoboe?
muzeeee, tamaa itakuuwa
Enyewe ni warembo. Come to MSA tukupe shamba, na warembo watatu ukiongeza mkeo utafikisha 4 inavyoruhusiwa. Mambo ya viruka njia utasahau.
Hata Simba Mzee hunywa maziwa
I will come there when I become a trillionare. I came to the city a few years ago na karibu nikatalie huko
Utashindwa kama ile website yako.
Na mkikuyu arudi kwao Kirinyaga.
Ngombe hazeeeki maini
I thought UDAku wamekataa Dynasty.
Watu wa pwani hawatambui chama bali personality ya mgombeaji. Unaenda na chama kubwa unatwangwa na independent candidate.