Mutheu rudi please.

nimechomeka mikono ya kutosha.
[ATTACH=full]238366[/ATTACH]

Aki ya Nani akirudi anakuosha iyo mtungi coz anajua kuna mpishi mwingine uta Leta tu

Si kuoga kwa kichaka DRc, si kuanika nguo nyuma ya tulela now this…

Kama haya ndio maisha, pole msakoro

Dangerous set up

Bro, uko na microwave pia hapo ndani?

Alafu apeleke salo yoto kwa maraya

DRC wanatuogopa sana, wanasema sisi hupenda Bahali ba kujambia

Halafu matina anakuja kukushow, Meria nunua chips.

self contained, hadi fridge

Letea VC tissue @Makonika

nakutumia ID upatie @gashwin anichukulie hujuma namba

hata fingerprints utume.

Hiyo nugu iendelee kutumia matawi vile imezoea.

:D:D:D:D

vile card hazijatoka ata moja si i mnaweza chukua baadae

Padre niombee Mutheu arudi ata kwa kijiji. tuko na colabo ya hekaya.

Very dangerous , si afadhali kupark kwa bush upikie huko

only dangerous ukiwa na Thermos,

@gashwin I am not petty enough to question somebody’s life situations.