Ukichomolewa ma files hapa na pale eacc, kra, auditor general, cbk etc, inabidi ucheze chini for the time being banae
Muchere na nyama imefanya watu watokee kwa wingi… enyewe watu wa ocha ni watu blalfakin
Mutahi whacked that gafana or was an accessory or is the biggest beneficiary(ended up working with mobster Gachagua after he got the seat) hence motive.
Jamaa sasa kazi itakua checking brake fluid kila wakati.
Gachagua and Ruto are always on demon time.
He’s just trying to be nice to a visitor otherwise kesho he will be back to default settings za Kaongo Must Go.
Yea kesho he’ll just mumble in deep ochaspeak
" Si marisema alete maedereo, kwani utakataa mbesa . Rakini 2027 God wirring luto aennde kwao"
He looks very unhappy.
Lazima @Ndindu amekula ndimu siku mzima leo.
Ni Nani alikuwa amesema murima tumetoka kwa serikali?mtajionea wenyewe,
Murima bando iko na Luto
Vaite wanakula vizuri
Hawa ni emissaries wa Rigggy G. Something is cooking. Na mpiga kura atawachwa kwa mataa.
Tuliambiwa tugule pesa tukipewa…
Hii hatuwezi achia hiyo ghaseer.
Tunabembeleza yeye vile lanye hukushikashika huku akikudungia Mchele.
Mwishowe anakuosha na kujitoa
All politicians have a price or skeletons in the closet that gava can use to control them. Mbivu na mbichi mtaona close to elections when people don’t give a fuck.