Boy wetu @sludgist ana maliswo na pombe. Ni kama hakuwa amekula zile takataka zake goat testicles.
Mungich ulevi haitaki pupa. Shida Kwanza halafu utwange sherehe. [ATTACH=full]486680[/ATTACH]
nini hii anakunywa inatuma a sweat design hii ?
Kupiga picha mlevi ni makosa banae
Anyone anakunywa tei anafaa kujua limit yake. Ukisikia kubleki unakanyanga kubwa kubwa Hadi Kwa keja.
Huyu omwami anakaa wale wa Wacha nilale kiasi tuzidi na reality umefika mwisho ama utapike
nakunywa kwa closet pale ocha buana
[ATTACH=full]486683[/ATTACH]
Wewe na nguruwe tofauti ni nini.uriyanagia atia meniii
Hii krisi ulikula chama. Juu it’s weird wewe kunywa bia zako ni captain mwenye Morgan.
Pombe imemchukua juu kweli, hata figure imechora S, kama ile logo ya Sabena Airlines, now extinct
Najua mathe akiona hizo tei ni nomaaa:D:D
Kijana mchafu
Unakunywa tusker na njahe
Keg YA black:D:D
Jana ulikuwa unawahangaishia wapi.Nilikuwa nimekuja kutafuta mkia yako hizo pande kwenu,ni kama ulikuwa idhaa
Hurumia mtoto ya mama banae:D:D:D
mamako ama?
[ATTACH=full]486808[/ATTACH]
:D:D:D:D
utakula lawama