Mume wa ule jamaa wa 'LAUNCHING' anarusha misele

“Sina haja ya kukufuata wewe au mikutano ya Jubilee. Sina haja na mualiko wako au wa Jubilee kuhudhuria mikutano. Sina haja na kugombana na wewe wala chama chako cha Jubilee. Ila ni wajibu wangu kuwafuata wananchi walionipigia kura mimi Gavana wao wa Mombasa. Na kama umekasirika pasuka!”

Dume la madume

10 Likes

Niaje@Kaswende
another useless thread here

Hivi tuseme huyu kiongozi anaongozwa na watu miongoni mwao mateja?

1 Like

@admin rudisha jamaa Misri

Hata ile kiti tulimpea akiingia, mpee tu aende nayo.

1 Like

@admin nyang’au @Kaswende amekam. Kuja na shoka ile yako.

1 Like

Huyo alipewa gunia na @Chifu ; ajaze ujinga ndani yake

1 Like

:D:D:D:D:D Haswaaaaa!

1 Like

@Deorro ndio huyu sumbua wa kijiji @Kaswende rudisha yeye syria

ma mungich hawataki story za joho

Syria kuna nini?

1 Like

Mungich ni wewe na hiyo simba iko kwa hiyo chupa yako ya pilsner…

Tutaacha kuitwa mungiki lini na hawa watutakiayo mabaya bana? Mungiki najua hapa ni jaymoh, matusi atutaki hapa bana. Defend us from izi kupe.

Why is everyone against @Kaliwanga aka @Kaswende . Hio sio maneno yake … NV #plebs #somemore

inakaa ujinga imejaa kwa ngunia hadi inamwagika hapa

1 Like

Huyu @Kaswende kwani aliwafanyia nini? Na mbona kumtajataja kwa thread zangu?

Apeleke matusi zake uko sisi tunataka kuishi kwa amani hapa canaan

Wewe ni kaswende…ama alikusambazia ujinga b4 apigwe mstari?asking for the village though

Nani ametusi mwenzake hapa?

I am certain of one; that Uhuru is winning the August elections. And if Joho should not win, which is becoming more likely by the way, he will have the most terrible life of as a civilian than he can imagine!

2 Likes