[MEDIA=facebook]1354247211/posts/10227334202804854[/MEDIA]
Bujumbura->kenya->UK? What fuckerry ? Ama cambridge analytica wanataka kakitu wafanye ile maneno?
Mi nikishika pesa ka hio siezi taka hii upuus.Anyway more money more problems.
nangoja nisikie ruto akitajwa
Asset Recovery Agency itafira huyo jamaa bila utelezi. Halafu the big wig mwenye alimtuma will make sure atajipata Yala. Anyway Kalenjingas and looting are a match made in heaven.
William Ruto trying to bring in dirty/graft money
Campaign money coming and entering in truckloads…
@johntez addi gaza msafi lost a big opportunity here. This could have been the biggest heist of your career man. Ujinga yako unapiga walevi ngeta sasa uko holed up kayole inner ghetto juu Hezzy wa kayole ako radar yako. Ukichungulia tu hivi … unachunishwa copper headshot. What a fuckery cuz.
Expect the mother of all inflations after this election
Hiyo pesa nikapata 100k usd, naitupa pale Forex trading nafanya nayo experiments za short and long, leverage na margins. Lakini peasant nimekwama kwa demo account.
:D:D:D:D:D
Ashatajwa. But nobody is talking about the Dubai heist
Jaribu kuuza signals…like 4 real.