Mtaacha Madharau

Kuna siku sukari niliambiwa na donda niingie kwa gari nipige seti.
Leo nimesimama kando ya barabara tuktuk ikakuja mama ya soko akashuka nasikia ananiambia toa mzigo nyuma sijui nipeleke wapi.
Nikamlenga akaanza kusema venye vijana hawapendi kazi ni raha tu.

2 Likes

Kwani umejieka aje elder, mbona unakaa chokosh hadi mtu random anakupea kazi ya bebabeba,

5 Likes

But mama wa soko was right, hupendi kazi, ni raha tu

6 Likes

Hiyo ni 100bob ya keg ya black umekataa?

2 Likes

I have 8k on my mpesa

3 Likes

Na bado mshahara ijaingia… wewe ni mdosi

1 Like

Najua sasa 7850 ni ya lanye kwa hio hesabu. 150 ni ya smocha mum akikufungia nje kabla hujakula.

1 Like

Si utoe ata 1000 uingie mtush ununue luku mpya mzee?


Hii bado ni luku safi

1 Like