BAK1
June 26, 2018, 10:29am
1
Mpenda…!!? utamalizia mwenyewe
Napita tu
NAHUJA
June 28, 2018, 6:56am
7
@Shunie umeshaungwa kwenye hili jukwaa? if yes, njoo ujionee hapa
Shunie
June 28, 2018, 8:34am
8
Nimeungwa shoga nimechafuka halafu shemeji yako yupo mbali bora usingeniita ngoja nikanawe
BAK1
June 28, 2018, 9:46am
9
Umenawa nini dadaake Shunie?
BAK1
June 28, 2018, 10:43am
11
Hahahahaha lol! Najua umenawa dadaake, swali langu ni hili dadaake umenawa nini?
Shunie:
Nimenawa jamani
BAK1
June 28, 2018, 10:46am
13
Hahahahaha lol! Haya dadaake nataka nikuweke kwenye kiti moto naona unafanya juhudi kubwa kukikwepa :)
Shunie:
Nimenawa majiiiiiii
Shunie
June 28, 2018, 11:11am
14
Hahahhahha kwani kaka umeelewaje nilivyonawa jamani
BAK1
June 28, 2018, 11:14am
15
Mie dadaake nilikuwa nataka kujua tu hayo maji umeyanawa eneo lipi la viungo vyako?
Machoni, magotini, vidole vya miguuni, viwiko au kiungo kipi dadaake? ;)
Shunie
June 28, 2018, 11:16am
16
BAK1:
Mie dadaake nilikuwa nataka kujua tu hayo maji umeyanawa eneo lipi la viungo vyako?
Machoni, magotini, vidole vya miguuni, viwiko au kiungo kipi dadaake? ;)
Ooooh kumbe nimewana huku yani huku hapa jamani kwa hapa tena
BAK1
June 28, 2018, 11:27am
17
Hahahahaha lol! Dadaake mie hicho kiungo kinachoitwa huku sikijui naomba unifahamishe vizuri dadaake ili nikuelewe.
:p:p
Shunie
June 28, 2018, 11:30am
18
Hiki hapa jamani kwa hapa kipo kwa ndani hapa chini hapa tena
BAK1
June 28, 2018, 11:32am
19
Hahahahaha lol! Picha itapendeza kwa sauti ya bilionea
Shunie
June 28, 2018, 11:33am
20
Mbona unakuwa tomaso jamani ni hapa ebu angalia shuka tena kwa hapa bwana