Habari wakuu
Nimekumbushia thread ya kuulizia mshahara maana tumeaicha kule Jf Tz.
Mshahara wa mwezi june umetoka kea kada yeyote ile?
Wakuu tiririkeni,wengine tunawadai watumishi…lakini mkuu kama wewe ni mtumishi si unaangalia salio kwa sim banking!!
Maa wee… Tunatia aibu sasa jamani . Mambo mengine tujizuie …
Tupo ugenini hukuu…
Mbadooo
Naomba niLogoff, maana sio kwa aibu hii
Iweeee!
Tupo ugenini sawa lakini mwenyeji wetu katupatia chumba chetu wenyewe. Tunaweza kuwa huru kama hayupo mlangoni kutusikilizia
Aisee ngoma mpaka jumatatu hii
Na eid imetumaliza
Nilisha chimba tukutane kwenye kona kabla sijafika home anaenidai jumatatu ndio tutazungumuza
:p:p:puskimbie mkuu
Najaribu kukumbushia ya kule nyumbani. Maana siku kama hizi hii mada ilikuwa inatrend.
Means pesa mkonon au??
Haaaa
Haaaaaahaaaaa
Tauari
:D:D:D:D:D:D the spirit of JF
Aibu kuu…
Huyakuti mambo haya kwa wenyeji aisee…
Kama wabongo hawatatumia platform hii kuwa na sense ndo bas tena.
Bado
Jiwe kasema mpaka j3
Kweli mkuu?..kuna mtu anachangu,nataka nisimlazie damu
Wengine mishahara tunajilipia wenyewa
Bado kidogo
mwenye taarifa atujuze…ni mwisho wa mwezi ni muda wa kukabana na madanga