msee alinyongwo

[MEDIA=twitter]1161037864475512832[/MEDIA]

Hayo maneno ni kama moto ya kuotea mbali. Tuliambiwo sisi nyeuthi peke ndio hunyonga. Au???

Best president on earth anafuata House of Cards

Hapanaaaaa!!!

Nyinyi mlisema eti nyie ni waheshimiwa Wakanda kutoka nchi tukufu la Wakanda na kana kwamba kwa lugha sanifu ya Kiingereza : you only kill for a reason!!

Na pia ukaongeza kwa binafsi yako, eti kwa muda huu tulio sasa, mauaji yote pale Amerikani yanayotekelezwa na watu wasio na akili timamu, yanasababishwa (triggered) na msimamo mkali wa kisiasa wa Rais wa nchi hio yaani Trump.

Na kwako wewe binafsi ulisisitiza msimamo huo hata wakati ambapo iligunduliwa ya kwamba mwuuaji mmoja kwa jina la Patrick Crusius alikuwa amechapisha manifesto yake kwenye mtandao, akihimiza ya kwamba mwauaji aliyonuia kutekeleza siku hio atayatekeleza kwa hisia zake binafsi bila kushurutishwa na binadamu yeyote , haswa akizangatia ya kwamba wanahabari watamlimbikizia kidole cha lawama RaisTrump.

Mwuuaji huyo pia alisisitiza ya kwamba matukio hayo alikuwa ameyawaza hapo mbeleni hata kabla ya Trump kuwa rais wa Amerikani.

Headmaster @gashwin I can teach githweri as you can see. Nipatie kazi nifunze watoto set book.

[ATTACH=full]255372[/ATTACH]

I am stiill not boarding. This flight is too risky. :):slight_smile:

Hata hio will inasemekana ali sign two days before his death ichunguzwe Sana.

We don’t want your type in Team Trump. Wewe baki hapo na akina Gathecha na Ruto. Wezi.

In every country where nyeuthi are there is a problem. Why?

Pale U.S nyeuthi ndio wamejaa jela, they shoot each other the most. They are the drug dealers. They are the drug abusers. They hate each other the most. Why?

One mzungu mass shooting is highlighted on CNN and yet 30 blacks have killed each other in Chicago that same week. Every month average ni 250 homicides.

Ukienda Brazil, same story. They are the gangsters and mad men.

Ukienda Jamaica, same story. Ukienda Belize, same story.

Ukikuja Africa, same story. Look at Congo right now. Richest country on earth. But right now they are engaged in sheer madness. Tafuta video uone vile wanafanyia wanawake DRC.

Of course you will blame the CIA and French secret service which is bullshit of course.

Unachukua machete na mikono yako mwenyewe unafungua tumbo ya mama halafu unasema ni mzungu alikwambia…

Patco unajaribu kusema nini sikuelewi tumia click sounds na grunts but onomatopoetic