Msaibu za Latema Junction

Mimi na ujinga nikaamua kuosha rungu na kunguru hapo latema road.I decided atleast to walk around dubois ntafute yenye inakaa quality,si unajua wale wa kukaa mlango wanakuanga wamechapa?So nkapata moja na nkaenda short.To cut the long story short,as i left the brothel,niliskia nimeshikwa na kuvutwa na jamaa hapo,Unafanya nini hapa?Unajaribu kuresist arrest?hapo nikajua mimi kwisha,nilipelekwa hapo choo za kanjo na tukaanza kubargain hadi tukaagree 1500 ndio watoe pingu na vile tulikua wengi.Hii mwaka nimeamua kunguru staki kabisa

Masaibu ya kuwinda punyani.

Nilibargain ifike 300,mwisho polisi wakanitoa 1500

Makosa ni gani lakini, hawakupata ukiwa juu ya MTU.

at that point you either purchase your freedom ama upelekwe central,

mbona terrorist wanamalizanga innocent family men wa riverside
yet hawa watu wanawaacha?

Hehehe!! Yeah a similar pal narrated that to us venye alishikwa… hao makarao plaincloth wanakuwanga like 6… 5 men and 1 lady mkale they converge hapo kitu 8pm.the lady cop na jamaa moja huwa wanachill hapo kwa base ya shoe shiners apo loo za kanjo latema Rd wakingoja waletewe maguys. While the rest of the cops huwa wana winda watu wakitoka lodgo as far as luthuli. But they mostly target that lodgo opp kanjo loo…mguys Yeye aliachiliwa na 1k if you dont watakuzungusha town mzima na pingu wakijifanya ni gari wanangojea iwapick to scare you.

Short mbili

The kale lady seems to be the one incharge,alafu amenona

Na @Hata sikuskia vibaya

Makosa ya kuwa juu ya mtu ni gani na usiseme public nuisance.

By the way SHOT ulilipa how much? If below 1500/= hiyo ni raw deal kwa huyo lanye!

Market price ya nunu pale riverroad ni 300

utapelekwa police station ulale kwa uchafu, kesho upelekwe kortini upewe bail. harassment. not worth it.
Polisi wa kenya wabadilishwe tupewe wengine. The only solution is to train new ones and to put a camera on them.

mpaka sahii, hajaskia vibaya

Naskia vibaya,kuchotwa 1500 hundred january sio mchezo

Post Nut Crisis

hhahahaha no give us hekaya vile huyo mresh aliku panulia, pictures can add more value so i would advise you attach them

I have friend alishikwa hivyo… Akataa kulipa akapelekwa central… Alitoboka 2k…mimi nakulanga poko githurai. Huko hakuna shida ya polisi

LANYE WA SHORT hakuna time ya picha,but nunu haikuwa mbaya sana