Lmfaooo mseh alikunywa pesa yote ya stock jana. Kuamuka asubuhi akagundua hana nyaguss na pesa ni less. Alikimbiza kinyabis kwa dealer wake wa nyama amkopeshe lakini akanyimwa juu ana madeni mingi. Dealer akamuonea huruma juu ni easter akampea matumbo ya deni ajisort.
[ATTACH=full]234414[/ATTACH]
Fala imekausha mdomo inje ya kibanda akingoja customer but wanalenga shop yake juu no one eats matumbo on a holiday. …kila mtu anataka nyamchom.
Mseh imebidii achomeke Leo aende hasara. Lmfaooooo