mr kahoro

heka ya kwanza nikiwa mtoi kuna vitu nilifanya na jeshi ya home,saa hii nikifikiria naona tulikuwa wazimu

apart from ile heka nilipeana apa tulikuwa tunakamua banana tree tunachimba shimo then mpaa akadai konokono iwekwe ndani ndio ikuwe slippery kama ikuss:D
bado kuna vituko zingine tulifanya crazy

nilisomea primo inaitwa kamuiru primary school apo opposite ya gate kulikuwa na shop ilikuwa inaitwa haa waMONI.
so mtu akiwa na 1 bob ama 5 bob ulikuwa una sneak mbio unabuy peremende ama kagumu, shida ni uonekane na mwalimu

saa mimi kama kawaida on a friday nika-sneak nikaenda Haa wamoni nikabuy kagumu kurudi mrs kahoro akaniona
akani -itaa na kuchukuwa kangumu yangu na kunishow l knee down, na akaenda stuffroom

sasa mabeste walikuwa wananicheki wengine wakinicheka…

Timo nini mbaya?

sparta…atare kahoro uu-gui KEINO yeye

maboy wakahepa…

kumbe mr kahoro alikuwa tu area,aliskia nikimuita Keino…

nikaulizwa ati umesema nini? nikanyamaza
nika amshwa na slap on the face

dragged hadi stuffroom…nika ambiwa piga magoti

rudia chenye umesema

apo sparta amefura kaa fucking siwezi ongea…

nikatandikwa makofi tena, nika anza kujifanya nalia lakini hakuna machozi inatoka

mwalimu moja akauliza nini uyu kijana amefanya… kahoro akaniangalia
sema chenye umeambia marafiki wako…

nikanyamaza…nikalishwa chini nikawekelewa viboko…kwa lower thighs nikafura ile mbaya
apo ndio nilisnap nikaitanaaa GUUUUUUUI ENOOOOO,GUUUUUUI ENO

walimu wote wakashangaaa…kahoro akanipiga swipper nikanguka tena, lakini mimi bado na fight na miguu
other male teachers wakanishika l was still fighting…talking greeek nikitukanana mbaya…
ile chance nilipataa nikachomoka mbio outside stuffroom …nikakimbia towards the field hadi kwa fence nikaruka…nikaelekea home nikilia kama mtoi wa KG1

Napatana na watu wananiuliza nini mbaya, nikilio tu kama fala

niki-ingia njia ya home ndio uyo cucu amebeba kuni akaniuliza nini mbaya
nikamshow nimechapwa na mr.kahoro…

cucu akadai hebu turudi saa hii,namshow wacha tutaenda kesho akadai apana saa hii turudi

mimi uyo na cucu hadi kamuiru …kufika apo kwa gate akaona wamoni akaulizwa
nikee cucu wa timo warakara uguo

cucu…ataree ngoma ici cirahura muthuri wakwa{kunanioo:p)

kuingia gate mimi bado naogopa slaps za kahoro, cucu naye ni nani amenishika mkono
hadi stuffroom …ali ingia amewaka moto…kahoro hakuwa alikuwa class…
principle akajaribu kuongea na yeye…akasema sijakuja juu yako natafuta kahoro

principal naye ni mbwa akanituma niende nichukuwe kahoro ile class anafunza

kuenda kubisha kahoro almost slapped me, nikamshow anaitwa na principal
the maafakaa akasema atakuja after lesson

mimi uyo nikarudisha ujumbe,…cucu naye nawazimu yake akamuendea hadi class alikuwa
kahoro tried to reason with her lakini wapi, kofi ilitembea na kahoro think aliumwa mkono
long story short, chief karomo ali itwa to settle the dispute… two policemen escorted cucu hadi kihara police station,
halafu karomo being a family friend akampleka hadi home.

monday kuenda shule nilipewa tupunishment kuosha stairs na iyo story ikaisha ivo, thou watoto waliongea for a whole term
mr. kahoro beef na mimi hakumaliza

eventually kahoro transfered to gachie primary school na akapeleka iyo upuzi uko ya kuchapa watu maslaps…maboy wa gachie primo wakamvamia usiku moja na kumpatia beating hadi akavunjika mkono…

sasa naye sparta akiwa form 1 akapatana na kahoro njia za gathima tukiwa na akina gojo na sothisto, nikashow maboys wanisaidiye kutandika uyu mzae
geng geng ikaniskia kwa corner ndio tulichapa ambush Gojo alipiga tisa mimi na sothisto kukanyagaa iyo nyangau na ngumi kwa mdomo na kuitoa trouser na kuhepa mbio… tulichange root for a few weeks

pole kahoro nugu hii

:D:D
Hekaya safi.

kikikiki

na kuitoa trouser na kuhepa mbio…

:D:D:D:D:D:D
afternoon made

Hakaya swaf. We’ll ignore the Osungu.dll mishaps

Yani wewe na cucu yako mnasaidiana kupiga mwarimo? @gashwin are you Kahoro by any chance?

1 Like

:D:Data nikipatana na yeye saa hii atakula slap na ni buy tusker mbili

I keep promising myself that I will stop reading ‘some people’ when at work. I have just failed. The names of your beshtes…sothisto? kikikikiki and also mlihepa na trau yake…I am dead. Alienda home na Y-Front! you are insane.

:Dtulisoma naye

alienda ivo nyumbani sijui kama aliomba wamama shuka

One of these stories (if not both) is not true…mara Mrs.Kahoro mara Mr. Kahoro. The one below, u were slapped by Kahoro kwa parade, u called him “gui eno”, u went home met ur grandpa (not grandma) he took you back to school…met waMoni (she always asked the same question)…Headmaster Kinuthia asked you to go call Mr./Mrs Kahoro from class…again police and Chief Karomo hapo Kihara police…am tired.

https://www.kenyatalk.com/index.php?threads/have-you-ever-been-slapped-in-public.61561/#post-1314604

heka ni mob daddy

ata sijapeana 40% sparta amefukunzwa shule mara mob sana
ata ile tulienda kuswim kwa dam sijapeana bado, one kid died

ingine tulipataa a body same dam na tukanyamaza

wacha kusumbua kaka:D

he he…hapana

he he he…mulika nyang’au. kuna vila nilikuwa nasoma hekaya nashindwa kama nimeiona mahali.

Mr. @gashwin Kahoro :D:D:D kwisa mimi

Hapa ametuchenga ama nimadhara ya kukosa bangi Mombasa?

leo hujaitisha summary pamba:D

@gashwin kahoro tulia :smiley:

Ati yua shush alimkata tichaa bao na Kumpata baya… Kwani yua shush ni Cynthia rothrock?

:D:D:D:D:D
Wacheni postmortem, hekayz is funny as ferk

I don’t know why folk tear them apart. They are hekayas, not biographies! deemn. Some stuff may have happened but the hekayarists own a certain writting skill that takes us the readers to the scene. That is all I need.

:D:D:D:D:D sothisto.