What is his secret? What does he eat? At 94 years of age yet he can still talk eloquently and walk easily.
[MEDIA=twitter]1646453247597502465[/MEDIA]
Pesa…you have access to healthy food, skilled doctors, peace of mind.
Umaskini ikikuandama even a tooth infection can take u to the grave.
Watu ya western wenye hawakunywa chang’aa hukua hivo. My grandpa is now 100…his two brothers are 103 and 104 respectively but majamaa wako sawa kabisa…wanaendesha gari na kutembea bila mkwaju
wah labda hata rungu wanaosha
Huyo bro wa grandpa mwenye ako 103 has a son who is in his early 30s bana…bibi mdogo ako 50s hapo. But jama married very late cos hata first born ako in either in his late 40s or early 50s. Naskia alikua ameamua kua MGTOW, probably a founder member:D:D…but he still ended up marrying kwanza two wives after pressure kutoka bro zake.
must be a very disciplined fellow
One of the secrets to hitting 100 years strong.
Pesa is just one of the factors but not the main one. My grandmother’s brother died juzi at the age of 115 and he was still walking and talking. Another guy from my village died at the age of 116 and he was fit as a fiddle. The two weren’t exactly rich but they had that thing about being naturally healthy and fit
Hii ni kama blessings
All thanks to the mighty Mulembe genes!
Exercise pia. Uncle Moody swims daily. I remember once meeting Njonjo driving himself I think pale Nbi Hos. Moi was also quite in dood shape. Perhaps a combination of diet an keeping fit.
Yep…njonjo always drove himself…met him so many times in his range vogue
Mi hucheka nikiona mtu anakimbilia planteshen at sijui 25 unashindwa huyu mtoto kwani ni mjinga aje?
His family was just like the Nyachaes, rasangas michukis nasirs odingas Kenyatta’s… Are all gatekeepers za dynasties
Someone told me that Moody’s family started a crocodile farm in the upper section of River Sio, along the Ke-Ug border. Years later, some hatchlings managed to cross the wire mesh and swam downstream. They matured and began feasting on akina Wafula wakiswim, wengi wao hawana haga moja. They hate him to the core
Mungu anisamehe
Ukipita right outside his boma hapo funyula kuna some tanks zimejengwa hapo…naskia hapo ndio ilikuwa nest ya young crocodilos/hatchlings but mimi naskia ziligrow zikakuwa kubwa started breeding wakashindwa pahali za kuzipeleka and obviously outgrew the tanks…so waka anza kuzidispose some funny place pahali watu wana limited/no access shores of lake victoria na ndio zika anza kuspread hapo.
Saw the concrete tanks with my own eyes.
Oya EPOCH what say you.
:D:D:DNi lini waluhya watapata afueni kwa had hii kijiji?
Moody kama hataki kuandamana aende akae kwake Funyula. Hakuna mtu alimwandikia barua akuje maandamano.
The Aworis wako na good genes za kuishi miaka mingi. Happens to some of the families. Upande my matha, her father(my maternal grandfather) alipass akiwa 99 in 2021. However, ndugu na dada zake walili, all older than my late grandfather, are still going strong though two are now blind. Juzi nilikua home that blind granduncle akaskia niko area akatumanisha niitwe. After greeting me, he didn’t let go of my hand and began crying like a child for like 10 minutes. Ilibidi sister yake akuje na mkongojo amwongeleshe. Karibu pia nitoe machozi. To this day i don’t know why he did that